VIDEO:FUKUTU LA UCHAGUZI WA VIONGOZI WA KLABU YA MAJIMAJI LA PAMBA MOTO.

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
Klabu ya MAJIMAJI inatarajia kufanya uchaguzi wa viongozi agust 5 mwaka huu ,ambao watakuwa na lengo la kuiongoza klabu hiyo na kuiletea maendeleo mkoa wa ruvuma kwa ujumla. Uchaguzi huo unafanyika baada ya viongozi wa awali kufikia kikomo wa kuiongoza klabu ya majimaji
https://youtu.be/xEZhepBTOnA HABARI KAMILI HII HAPA VIDEO YAKE

VIDEO:KAMTI HURU YA UCHAGUZI YA TIMU YA MAJIMAJI YA TANGAZA RATIBA YA KUCHUKUA FOMU.

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. Hatimaye kamati ya huru ya uchaguzi ya klabu ya MAJIMAJI imejitokeza mbele ya waandishi wa habari na kutangaza tarehe rasimi ya uchaguzi huo baada ya wanachama kushinikiza kufanyika kwa uchaguzi, ambapo nafasi zinazowania ni mwenyekiti wa klabu,makamu mwnyekiti wa klabu na mjumbe wa bodi HABARI KAMILI HII HAPA VIDEO YAKE.

VIDEO:MSIICHUKIE SERIKALI ILIYOPO MADARAKANI KWA KUKOSA AJIRA.

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. 
Wanafunzi wa shirikisho la vyuo vikuu nchini wa chama cha mapinduzi wanaomaliza masomo yao wametakiwa kuacha kukichukia chama hicho kwa madai ya kukosa ajira kwani kufanya hivyo nikwenda kunyume na ilani ya chama.HABARI KAMIL HII HAPA VIDEO YAKE.

VIDEO:WAKAZI WA MJI WA SONGEA WAJITOKEZA KWA WINGI KUCHANGIA DAMU

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. 
Kila ifikapo juni 14 ya kila mwaka ni siku ya kuchangia damu kwa hiari ,katika mkoa wa ruvuma Wakazi wa manispaa ya songea wamejitokeza kwa wingi kuchangia damu Lakini licha ya wananchi kujitokeza kwa wingi manispaa ya MANISPAA YA SONGEA yakabiliwa na uhaba wa damu katika hospitali ya RUFAA YA MKOA WA SONGEA,KITUO CHA AFYA MJIMWEMA kama anavobainisha msimamizi wa shughuli za mahabara MAGRETHI NGONYANI. HABARI KAMILI HII HAPA VIDEO YAKE.

JOKETI MWEGELO AKABIDHI MIFUKO 100 YA SARUJI KWA SHULE YA SEKONDARI YA MAPOSENI- RUVUMA

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Ruvuma Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa