KAYOMBO AGAWA MADAWATI 135 SHULE YA MSINGI MISUFINI

Na Regina Ndumbaro - Ruvuma Diwani wa Kata ya Misufini B, Manispaa ya Songea Mjini, mkoani Ruvuma, Christopher Fabian Kayombo leo tarehe 8 Januari, 2025 amekabidhi madawati 135 kwa Shule ya Msingi Misufini ili kuboresha mazingira ya kujifunzia wanafunzi. Tukio hilo limefanyika kwa ushirikiano wa karibu na Mratibu wa Kata, Ndugu Adolf Challe, ambapo madawati hayo yamekabidhiwa rasmi kwa Mwalimu Mkuu wa shule hiyo, Ndugu Credo Komba, pamoja na Mtendaji wa Mtaa, Bi Agnes Ndunguru.Diwani Kayombo amesema kuwa wanaishukuru serikali ya mama samia kwa na mkurugenz wa Manispaa Ya songea kwa kuwapa kiasi cha fedha shilingi milioni 25...

Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan afunga Tamasha la Tatu la Utamaduni la Kitaifa, Songea Mkoani Ruvuma

...

RAIS SAMIA ATEMBELEA MAKUMBUSHO YA VITA VYA MAJIMAJI, SONGEA MKOANI RUVUMA

Matukio mbalimbali wakati Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan alipotembelea Makumbusho ya Vita vya Majimaji, Songea mkoani Ruvuma tarehe 23 Septemba, 2024. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akisaini kitabu cha wageni mara baada ya kuwasili katika Makumbusho ya Vita vya Majimaji, Songea mkoani Ruvuma tarehe 23 Septemba, 2024. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwapungia mkono wananchi wakati akielekea Songea mjini wakati wa ziara yake ya kikazi Mkoani Ruvuma tarehe 23 Septemba, 2024.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt....

Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan aanza Ziara ya Kikazi Mkoani Ruvuma

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na viongozi mbalimbali mara baada ya kuwasili katika uwanja wa Ndege wa Songea kwa ajili ya kuanza ziara ya kikazi Mkoani Ruvuma tarehe 23 Septemba, 20...

MBINGA YANUIA KUPUNGUZA AU KUONDOKANA NA UTEGEMEZI

Mbinga. Ifikapo 2050, Wilaya ya Mbinga ina shauku ya kujiona inapunguza au inaondokana kabisa na utegemezi kutoka Serikali Kuu linapokuja suala la utekelezaji wa bajeti yake. Shauku hii ilioneshwa siku chache zilizopita wakati wa mkutano uliowaleta pamoja wadau mbalimbali kutoa maoni kuhusu Dira ya Taifa ya Maendeleo ya 2025-2050.  Kwa mwaka huu wa fedha (2024/25) mchango wa mapato ya ndani ya Halmashauri ya Mji wa Mbinga ni asilimia 10.4 ya bajeti nzima ya Sh31.6 billion.Tafsiri yake ni kuwa utegemezi kwa Serikali kuu ni asilimia 89.6.Kwa upande wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga mapato ya ndani yanachangia asilimia 17.5 ya bajeti nzima...

WANANCHI MJI MBINGA WATAKIWA KUSHIRIKI MIRADI YA BOOST

Na Alex Nelson MalangaAfisa Habari----Mji MbingaMbinga. Wananchi wa Halmashauri ya Mji wa Mbinga wametakiwa kushiriki ipasavyo katika utekelezaji wa miradi ya BOOST yenye thamani ya Sh419.1 milioni kwa kutoa nguvu kazi.Serikali kupitia mradi wa uboreshaji elimu ya awali na msingi (BOOST), imeipatia Mji Mbinga kiasi hicho cha fedha kwaajili ya ujenzi wa madarasa 15 na matundu 30 ya vyoo katika shule za msingi Beruma, Masumuni, Nazareth, Changarawe na Luhangai.Akizungumza siku ya Ijumaa (Agosti 2) katika shule ya msingi Nazareth, Bw. Xavery Mwihava, Afisa Elimu Takwimu, Idara ya Elimu ya Awali na Msingi, Halmashauri ya Mji Mbinga, alisema kuwa...

TAKUKURU: WAANDISHI PIGENI VITA RUSHWA

Na Alex Nelson MalangaAfisa Habari----Mji MbingaMbinga. Kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika baadaye mwaka huu, Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) imewataka waandishi wa habari wa Wilaya ya Mbinga kuwa mstari wa mbele katika vita dhidi ya rushwa.Akizungumza wakati wa kikao kazi na waandishi wa habari Jumatatu ya Julai 29, Mkuu wa TAKUKURU wilaya ya Mbinga Bw. Frederick Msae alisema waandishi wa habari wana jukumu la kuelimisha wananchi kuhusu haja ya kuchagua viongozi waadilifu.“Waandishi wa habari mna uwezo wa kuwafikia wananchi kiurahisi. Tumieni vema kalamu zenu kuwaelimisha wananchi kuhusu haja ya...
 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Ruvuma Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa