UFINYU WA BAJETI KATIKA SEKTA YA MICHEZO UMECHANGIA KITUO CHA MICHEZO SONGEA KUSHINDWA KUENDESHA MAFUNZO KWA WANAMICHEZO

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. Na Mwandishi Maalum – Songea  Ufinyu wa Bajeti katika sekta ya michezo umechangia kwa kiasi kikubwa kwa kituo cha Michezo cha kanda ya Kusini- Songea  kushindwa kuendesha mafunzo ya muda mfupi kwa  makocha, marefarii, madaktari wa michezo, uongozi na utawala  katika michezo. Hayo yamesemwa  leo na Mkuu wa kituo hicho Eliufoo Nyambi wakati  akisoma taarifa ya kituo kwa Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Anastazia Wambura wakati alipotembelea kituo hicho ili kuona...
 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Ruvuma Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa