Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan afunga Tamasha la Tatu la Utamaduni la Kitaifa, Songea Mkoani Ruvuma

...

RAIS SAMIA ATEMBELEA MAKUMBUSHO YA VITA VYA MAJIMAJI, SONGEA MKOANI RUVUMA

Matukio mbalimbali wakati Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan alipotembelea Makumbusho ya Vita vya Majimaji, Songea mkoani Ruvuma tarehe 23 Septemba, 2024. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akisaini kitabu cha wageni mara baada ya kuwasili katika Makumbusho ya Vita vya Majimaji, Songea mkoani Ruvuma tarehe 23 Septemba, 2024. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwapungia mkono wananchi wakati akielekea Songea mjini wakati wa ziara yake ya kikazi Mkoani Ruvuma tarehe 23 Septemba, 2024.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt....

Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan aanza Ziara ya Kikazi Mkoani Ruvuma

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na viongozi mbalimbali mara baada ya kuwasili katika uwanja wa Ndege wa Songea kwa ajili ya kuanza ziara ya kikazi Mkoani Ruvuma tarehe 23 Septemba, 20...
 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Ruvuma Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa