Home » » Kampeni Za CHADEMA Udiwani Songea Leo

Kampeni Za CHADEMA Udiwani Songea Leo


Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Ruvuma Joseph Fuime akinada sera za chama hicho kwenye kampeni za uchaguzi zinazoendelea kata ya Lizaboni
Mbunge wa Vitimaalum na Mjumbe wa Kamati kuu ya Chadema Taifa Chiku Abwalo akiwahutubia wananchi wa Kata ya Lizaboni waliofika kwenye viwanja vya Sokoni kusikiliza mkutano huo.
Picha kwa hisani ya mjengwa blog

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Ruvuma Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa