Home » » HII MBAYA SANA; UKATILI KWA WATOTO KAMA HUU UTAISHA LINI? shuhudia hapa

HII MBAYA SANA; UKATILI KWA WATOTO KAMA HUU UTAISHA LINI? shuhudia hapa




Mkono wa Fikiri Haus 13 
uliounguzwa unavyo onekana 
kwa karibu huo ni ukatiri ulio kithiri


Mtoto Fikili Hausi Mwanafunzi 
wa Darasa la Tatu Shule ya
 Msingi ya Majengo Mansipaa
 ya Songea akiwa amelazwa 
Hospitali ya Mkoa baada ya
 Kunguzwa Moto na Mama yake.



Jeshi la Police lina endelea 
kumtafuta mama yake Fikili Hausi

Msomaji hebu angalia Jamii ya
 watanzania kila siku inafanya
 makongamano ya kuzuia vitendo 
vya ukatili dhidi ya watoto na 
mama, je kitendo kama hiki
 watanzania tunaenda wapi 
na hikiwa watoto ndio Taifa la kesho?

Picha na hisia za Mwananchi Blog


0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Ruvuma Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa