Home » » Waziri Nyalandu akagua meno ya Tembo yaliyokamatwa na askari wanyamapori wilayani Namtumbo

Waziri Nyalandu akagua meno ya Tembo yaliyokamatwa na askari wanyamapori wilayani Namtumbo

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. 

IMG-20150508-WA0025
Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe.Lazaro Nyalandu na Ofisa Wanyamapori akikagua ngozi za wanyamapori zilizokamatwa  na askari wa wanyamapori toka kwa majangili Likuyu  Sekamaganga Namtumbo mkoani Ruvuma mwishoni mwa wiki iliyopita. 
IMG-20150508-WA0027
Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe.Lazaro Nyalandu na Ofisa Wanyamapori akikagua meno ya tembo yaliyokamtwa na askari wa wanyamapori toka kwa majangili Likuyu  Sekamaganga Namtumbo mkoani Ruvuma mwishoni mwa wiki iliyopita.
IMG-20150508-WA0007
Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe.Lazaro Nyalandu akila chakula cha mchana na wanafunzi wa shule ya sekondari ya Selous iliyopo Likuyu  wilayani Namtumbo mkoani Ruvuma mwishoni mwa wiki iliyopita.
IMG-20150508-WA0008
 
 
 
 

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Ruvuma Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa