UZINDUZI WA MBIO ZA MWENGE SONGEA MKOANI RUVUMA

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.   Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dkt. Ali Mohamed Shein akiwasha Mwenge wa uhuru leo mjini Songea katika Uwanja wa Majimaji ikiwa ni sehemu ya sherehe za uzinduzi wa mbio za Mwenge kwa mwaka 2015  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dkt. Ali Mohamed Shein akihotubia leo mjini Songea wakati wa sherehe za uzinduzi wa Mbio za Mwenge wa uhuru zilizofanyika kitaifa mkoani Ruvuma.  Rais...

NAIBU WAZIRI WA MAJI MH AMOS MAKALLA AZINDUA MRADI MKUBWA WA MAJI KIJIJI CHA MKONGO NAKAWALE

Naibu Waziri wa Maji Mh. Amos Makalla akisalimiana na watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo, kushoto kwake ni Mkuu wa Wilaya ya Namtumbo Bi. Agnes Hokororo. Naibu Waziri wa Maji, Mh Amos Makalla amefanya ziara ya kikazi wilaya ya Namtumbo pamoja na mambo mengine amezindua mradi mkubwa Maji kijiji cha Mkongo Nakawale ambao watu zaidi ya 4000 wanapata Maji safi. Aidha amekagua mradi wa Maji Milonji na ametoa agizo hadi kufikia tarehe 12 mei mwaka huu mkandarasi awe amekamilisha kuchimba kisima kingine baada kisima cha awali kuwa na Maji machache. Pia Mh Makalla amemwagiza Katibu mkuu wizara ya Maji...

KAMPUNI ZISIZOSAJILIWA SOKO LA HISA KUBANWA

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. SERIKALI imesema katika siku zijazo haitoruhusu kampuni yoyote isiyosajiliwa katika Soko la Hisa kutolipa kodi na hata kutiliwa shaka kwamba shughuli zifanywazo haziko katika hali ya uwazi. Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba alisema hayo Dar es Salaam na kuongeza kuwa ni vyema wamiliki wa kampuni mbalimbali nchini wakajiandaa kisaikolojia na kuhakikisha kampuni zao zinaandikishwa katika Soko la Hisa ili kuwezesha jamii kutambua kazi wazifanyazo kuwa ni za uwazi na zenye manufaa kwao. “Kampuni mbalimbali…mtengeneze utaratibu wa kuingia katika Soko la Hisa Tanzania ili kuwezesha wananchi kiuchumi na pia kuondoa dhana kuwa mnaendesha shughuli zenu kwa usiri mkubwa,”...
 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Ruvuma Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa