
Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
Rais wa Zanzibar
na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dkt. Ali Mohamed Shein
akiwasha Mwenge wa uhuru leo mjini Songea katika Uwanja wa Majimaji
ikiwa ni sehemu ya sherehe za uzinduzi wa mbio za Mwenge kwa mwaka 2015
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dkt. Ali
Mohamed Shein akihotubia leo mjini Songea wakati wa sherehe za uzinduzi
wa Mbio za Mwenge wa uhuru zilizofanyika kitaifa mkoani Ruvuma.
Rais...