Home » » NAIBU SPIKA MH. DKT TULIA ACKSON AKABIDHI HUNDI YA TSH MIL.8 KUCHANGIA UJENZI WA HOSPITALI WILAYA YA NAMTUMBO.

NAIBU SPIKA MH. DKT TULIA ACKSON AKABIDHI HUNDI YA TSH MIL.8 KUCHANGIA UJENZI WA HOSPITALI WILAYA YA NAMTUMBO.

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. 
Mgeni rasmi Mh. Dkt Tulia Ackson akinadi korosho katika harambee yauchangiaji wa ujenzi wa hospitali ya Wilaya Namtumbo iliyofanyika jijini Dar es salaam
   Mgeni rasmi Mh Dkt Tulia Ackson na baadhi ya viongozi wakitazama makala fupi ya Ujenzi wa Hospitali hiyo ilipoanza na baadhi yamajengo ya hospitali hiyo ya Wilaya ya Namtumbo

Mkurugenzi mtendaji wa Kampuni ya Mantra Bw. Fredy Kibodya akielezea jambo kwa mgeni rasmi katika harambee ya uchangiaji wa Hospitali ya Wilaya ya Namtumbo

Mgeni rasmi Mh Dkt Tulia Ackson akikabidhi mfano wa Hundi yenye thamani ya shilingi millioni  nane kuchangia ujenzi wa hospital ya Wilaya ya Namtumbo

Mkuu wa wilaya ya namtumbo Bi. Luckness Alima akilia kwa furaha baada ya kuchangiwa sehemu ya fedha kwa ajili ya ujenzi wa Hospitali hiyo.


0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Ruvuma Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa