Home » » TBA WATUNISHIANA MISULI NA HALMASHAURI YA NYASA

TBA WATUNISHIANA MISULI NA HALMASHAURI YA NYASA

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) waikatalia halmashauri ya wilaya ya Nyasa mkoani Ruvuma kukatisha mkataba wa ujenzi wa ofisi za halmashauri hiyo,Hii ni baada ya Baraza la madiwani la halmashauri hiyo kukubaliana kwa pamoja na kustisha mkataba. Wasema kama halmashauri itasitisha mkataba itabidi halmashauri iwalipe fidia TBA.

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Ruvuma Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa