Home » » Mbio za Mwenge wa Uhuru Mkoani Ruvuma zaendelea

Mbio za Mwenge wa Uhuru Mkoani Ruvuma zaendelea

Afisa Tawala wa Wilaya ya Nyasa,Hapiness Msanga (kushoto) akimkabidhi Mwenge wa Uhuru Katibu Tawala wa Wilaya ya Mbinga Mkoani Ruvuma,Idd Mponda kwa ajili ya kukimbizwa katika wilaya hiyo.
Mkulima maarufu wa kahawa Wilayani Mbinga,Gotam Haule (kushoto) akimuonesha mche wa zao hilo kiongozi wa mbio za mwenge,Kapt. Honest Mwanossa
Wakimbiza mwenge wa uhuru wakicheza baada ya kumaliza mbio za mwenge katika Wilaya ya Nyasa mkoani Ruvuma katika viwanja vya michezo vya Mbambabay.kushoto ni Katibu Tawala wa Wilaya ya Mbinga,Idd mponda.
Picha na Muhidin Amri.

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Ruvuma Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa