Home » » SHUGHULI MBALIMBALI ZA KILELE CHA SIKU YA WAKULIMA NANE NANE MKOANI RUVUMA

SHUGHULI MBALIMBALI ZA KILELE CHA SIKU YA WAKULIMA NANE NANE MKOANI RUVUMA

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. 

 Katibu tawala msaidizi utumishi na utawala katika sekretarieti ya mkoa wa Ruvuma  Bw. Biseko Bwai (kushoto) akiangalia maziwa yaliyosindikwa na mjasilimali mdogo aliyefahamika kwa jina moja la mama Tarimo wakati wa kilele cha siku ya wakulima nane nane mkoani Ruvuma jana.

 Afisa kilimo kutoka halmashauri ya wilaya ya Tunduru mkoani Ruvuma Bw. Jibinza Masaba (kushoto)  akiwaeleza baadhi ya wananchi waliofika katika maonesha ya siku ya wakulima nane nane nyanya ambazo zinaweza kuishi na kuzaa kwa muda wa miezi sita tofauti na nyanya nyingine ambazo zinaishi kwa miezi miwili.
 Baadhi ya wananchi wa manispaa ya Songea wakiangalia kibao kinachoonesha aina ya mbegu ya ngano na mahindi yenye uwezo wa kutoa gunia 40 kwa ekari moja katika viwanja vya nanenane  wakati wa kilele cha mnaadhimisho ya siku ya wakulima mkoani Ruvuma. Picha na Muhidin Amri

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Ruvuma Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa