Home » » VIDEO:RUSHWA NI ADUI WA HAKI WANACCM.

VIDEO:RUSHWA NI ADUI WA HAKI WANACCM.

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. 
Katibu wa chama Cha MAPINDUZI CCM mkoa RUVUMA AMINA IMBO amewataka wale wote watakaochukua fomu za kugombea katika ngazi za wilaya na mkoa kuachana na tabia za kupiga kampeni kwani kufanya hivyo ni kwenda kinyume na sheria za chama cha mapinduzi.HABARI KAMILI HII HAPA VIDEO YAKE.

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Ruvuma Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa