Home » » Ufunguzi wa soko la Tumbaku Mkoani Ruvuma

Ufunguzi wa soko la Tumbaku Mkoani Ruvuma


Kaimu meneja wa chama cha ushirika cha wilaya ya Namtumbo na Songea(sonamcu) akimkabidhi risala ya wakulima wa chama hicho mkuu wa wilaya ya Namtumbo mkoani Ruvuma Abdala Lutavi.
Mwenyekiti wa SONAMCU,Awami Ngonyani akizumngumza wakati wa ufunguzi wa soko la Tumbaku katika kijiji cha Matepwende wilayani Namtumbo ,kulia mkuu wa wilaya hiyo Abdala Lutavi.
Baadhi ya wakulima wa tumbaku wa wilaya ya Namtumbo mkoani Ruvuma,wakikagua tumbaku yao kabla ya kuuza kwa makampuni yanayonunua tumbaku kwenye ufunguzi wa mauzo ya zao hilo katika kijiji cha Matepwende wilayani humo.
Wakulima wa Tumbaku kutoka katika kata ya Lwinga wilayani Namtumbo wakiangalia tumbaku yao kabla ya kuanza kwa zoezi la kuuza kwa makampuni yanayonunua tumbaku wilayani humo.Picha na Muhidin Amri,Globu ya Jamii-Ruvuma.
Picha kwa Hisani ya Michuzi Blog

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Ruvuma Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa