Home » » HOT NEWS PICHA: WAZIRI NCHIMBI AFANYIWA VURUGU NA WANANCHI WAFUNGA BARABARA ‏

HOT NEWS PICHA: WAZIRI NCHIMBI AFANYIWA VURUGU NA WANANCHI WAFUNGA BARABARA ‏

Wananchi wenye hasira wakifunga njia kwa kutumia vyuma vya kingo vya daraja kuzuia msafara wa Dkt.Emmael Nchimbi kupita wakati akienda kwenye mkutano wa hadhara ambao baadae ulifanyika kwenye viwanja vya shule ya sekondari ya kutwa ya matarawe iliyopo katika manispaa ya Songea (picha na Gideon Mwakanosya)
Diwani wa kata ya Matarawe (CCM) Makene  aliyesimama katikati akijaribu kuwatuliza wananchi wa kata hiyo ambao walifunga barabara itokayo mjini kwenda matarawe kwa zaidi ya masaa mawili wakimshinikiza mbunge wao Dkt. Nchimbi awasaidie kulipanua daraja ambalo wamedai kuwa limekuwa likisababisa ajari nyingi pamoja na vifo aliyesimama nyuma yake ni Dkt Nchimbi
 (Picha na Gideon Mwakanosya)

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Ruvuma Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa