Home » » BASI LA SAIBABA LAPATA AJALI LIKITOKA SONGEA KUELEKEA DAR ES SALAAM

BASI LA SAIBABA LAPATA AJALI LIKITOKA SONGEA KUELEKEA DAR ES SALAAM

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. 









Picha zikionesha basi la kampuni ya Saibaba Express linalofanya safari zake kati ya dar - Songea likiwa limeacha barabara na kuparamia mti uliopo pembeni mwa barabara eneo la Kidegebasi iRINGA, barabara ya Iringa Mbeya

Haikufahamika maramoja chanzo cha ajali hiyo, na kama kuna majeruhi ama la, lakini mwandishi wetu ameshuhudia polisi pamoja na abiria wakiwa eneo la tukio kuona namna ya kufanya
Basi hilo lilikuwa likitoka Songea kuelekea dar es Salaam, na imetokea majira ya saa nne asubuhi
Vijimambo Blog

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Ruvuma Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa