Home » » Baraza la madiwani Manispaa ya Songea lakutana leo

Baraza la madiwani Manispaa ya Songea lakutana leo

Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Said Mwambungu akisaini kitabu
cha wageni katika ofisi ya Mstahiki Meya wa Manispaa ya Songea leo kabla
ya kikao cha baraza la madiwani .
(Na Revocatus A.Kassimba wa ofisi ya mkuu wa mkoa Ruvuma)
Diwani wa Kata ya Ruvuma Mhe.Victor Ngongi akizungumza wakati wa
kikao cha baraza la madiwani wa Halmashauri ya Manispaa ya Songea
kilichoketi kwa ajili ya kupitisha bajeti ya mwaka 2012/2012 hivi leo
Msafara wa Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Songea Charles
Mhagama ukielekea katika ukumbi wa mikutano tayari kwa kikao cha
kupitisha bajeti ya mwaka 2012/2013.

Picha na Full Shangwe Blog

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Ruvuma Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa