Home » » Mkutano wa waendesha pikipiki Songea na Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma

Mkutano wa waendesha pikipiki Songea na Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma



  Mkuu wa wilaya ya songea Roy Thomas Sabaya akitoa nasaha kwa vijana  wanaojishughulisha na kuendesha pikipiki katika maeneo mbalimbali ya mjiji wa songea wakati wa mkutano kati ya vijana hao na mkuu wa mkoa wa Ruvuma Mh Said Mwambungu  mjini Songea. Kushoto kwake ni amanda wa polisi wa mkoa huo Afande Michael Kamuhanda.
 Mkuu wa mkoa wa ruvuma Said Mwambungu akizunguza jana na vijana zaidi ya 800 wanaoendesha pikpiki katika maeneo tofauti  wilayani Songea katika mkutano wake na vijana hao uliofanyika katika ukumbi wa songea club mjin i songea,kulia ni meya wa manisopaa ya songea Charles Mhagama.
 Baadhi ya vijana wanaoendesha pikipiki mjini songea wakimsikiliza mkuu wa mkoa wa Ruvuma Said Mwambungu hayupo pichani jana, katika ukmbi wa songea club wakati wa mkutano kati ya vijana hao na mkuu huyo wa mkoa.

Katibu wa chama cha waendesgha pikipiki wilayani Songea akiongea
Picha zote kwa Hisani ya Michuzi Blog

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Ruvuma Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa