Home » » ZIARA YA JAJI KIONGOZI MH FAKI JUNDU MKOANI RUVUMA

ZIARA YA JAJI KIONGOZI MH FAKI JUNDU MKOANI RUVUMA


Jaji kiongozi wa mahakama kuu Tanzania,Mh. Faki Jundu akikata utepe kufungua mahakama ya mwanzo maposeni iliyopo wilayani songea jana,kulia ni jaji mfawidhi wa mahakama kuu kanda ya songea,Mh. Peter Chocha na kushoto hakimu mfawidhi wa mahakama hiyo ya mwanzo,Aneth Senkoro.
Mkandarsi aliyejenga mahakama ya mwanzo ya maposeni wilayani songea,Efreim Malya katikati akimueleza jambo jaji kiongozi wa mahakama kuu ya tanzania,Mh. Faki Jundu wa kwanza kushoto,mara baada ya Jaji Jundu kufungua rasmi mahakama hiyo jana,kuli ni jaji mfawidhi wa mahakama kuu kanda ya songea peter Chocha.
Jaji kiongozi wa mahakama kuu Tanzania,Mh. Faki Jundu (kushoto) akipokea mti wa mparachichi kutoka kwa hakimu mkadhi mfawidhi wa mahakama ya wilaya Songea Janifer Changani jana katika viwanja vya mahakama ya mwanzo maposeni songea PICHA NA MUHIDIN AMRI WA GLOBU YA JAMII.
Kwa hisani ya Issa Michuzi
Picha zaidi Bofya hapa 

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Ruvuma Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa