Home » » MKUU WA MKOA WA RUVUMA AZUNGUMZA NA WANAKIJIJI WA KIJIJI CHA MTUNDUWALO

MKUU WA MKOA WA RUVUMA AZUNGUMZA NA WANAKIJIJI WA KIJIJI CHA MTUNDUWALO



 Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Said Mwambungu akizungumza  leo na wananchi wa kijiji cha Mtunduwalo kata ya Luanda wilaya ya Mbinga kufuatia malalmiko yao ya kulipwa fidia isiyolingana na thamani ya eneo waliloachia kupisha mradi wa mgodi wa Makaa ya Mawe Ngaka.
 Mmoja wa wanakijiji Mtunduwalo John Nyimbo akitoa maelezo juu ya malalamiko yao kwa Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma (hayupo pichani) kuhusu kulipwa fidia kidogo ya ardhi waliyoitoa kupisha mradi wa mgodi wa makaa ya mawe Ngaka wilayani Mbinga.
 Mkuu wa Mkoa waRuvuma Said Mwambungu akiagana na wanakijiji cha Mtunduwalo baada ya kumalizika kwa mkutan.
Wananchi wa kijiji cha Mtunduwalo katika Kata ya Luanda wilaya ya Mbinga wakisikiliza kwa makini maelekezo ya Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma (hayupo pichani) kuhusu malalamiko ya kulipwa fidia pungufu ya maeneo yao kupisha mradi wa makaa ya mawe Ngaka hivi le.
Picha na Revocatus Kassimba, Afisa Habari-Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Ruvuma Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa