Home » » Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma akutana na Balozi wa Msumbiji nchini

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma akutana na Balozi wa Msumbiji nchini


Katibu Tawala Msaidizi wa Miundombinu Mkoa wa Ruvuma,Sevelin Tosi (kulia) akisalimiana na balozi wa msumbiji nchini,Mh. Amour Zakarius Kupela alietembelea mjini songea.Wa pili Kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma,Mh. Said Mwambungu.
Balozi wa Msumbiji nchini Tanzania,Mh. Amour Zakarius Kupela (kushoto) akisalimiana na Kamanda wa Polisi mkoa wa Ruvuma,Kamishina Msaidizi Mwandamizi wa Polisi,Michael Kamuhanda mjini Songea jana.Katikati ni Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma,Mh. Said Mwambungu
Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma,Mh. Said Mwambungu (kushoto) akitoa taarifa ya mahusiano mema kati ya Tanzania na Msumbiji kwa balozi wa msumbijin nchini,Mh.Amour Kupela ofisini kwake mjini songea jana.Picha na Muhidin Amri wa Globu ya Jamii,Ruvuma.
kwa hisani ya Issa Michuzi Blog

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Ruvuma Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa