Home » » Dawa ya waharibifu wa mazingira Ruvuma imeiva

Dawa ya waharibifu wa mazingira Ruvuma imeiva

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Said Thabit Mwambungu amesema mtu yoyote atakaye haribu vyanzo vya maji au kutumia Maji ovyo hatua za kisheria zitachukuliwa dhidi yake.

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Said Thabiti Mwambungu ameya sema hayo wakati wadau mbalimbali wa Bonde la Mto Ruvuma na Pwani ya Kusini kujadili jinsi ya kukabiliana na Majanga yanayo sababisha kiwango cha maji kushuka.

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Said Thabiti Mwambungu amesema kiwango cha uharibifu wa mazingira katika mkoa wa Ruvuma una zidi kuongezeka kwa watu kilima katika vyanzo vya maji pamoja na kutumia maji bila kibali cha Maafisa wa Bonde la mto Ruvuma , watu hao wakibainika wata kamatwa na kufikishwa kwenye vyombo kisheria

 Afisa wa Maji Katika Bonde la Mto Ruvuma na Pwani ya Kusini.  Masaru Razaro Msengi amesma kiwango cha maji katika Mito na hata upatikanaji  wa Mvua mkoani Ruvuma umepungua kutoka milimita 1200 za mwaka 2010  hadi kufikia milimita 600 kwa mwaka 2013 hii ina tokana uharibifu wa mazingiza.

Mwenyekiti wa Halimashauri ya wilaya ya Nyasa Odo Mwisho katika kukabiliana na upungufu wa mvua ha sa baada ya wananchi kugeuza makaazi katika milima ya Lingistone na kusababisha uharibifu wa Mazingira amewataka wananchi hao kuondoka mara moja katika milima hiyo

 Mkoa waRuvumaumekabiliwanaUharibifuwa Mazingira Kwananchi kuvamia vyanzo vya Maji na kuvigeuza vya kilimo cha Mabondeni na Wenginekuchoma Moto ili kuwinda wanyama wa dogo kama sungura.

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Ruvuma Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa