Home » » WATAALAMU KUTOKA WIZARA YA NISHATI NA MADINI WAENDELEA KUWAPIGA MSASA WACHIMBAJI WADOGO JUU YA UCHIMBAJI BORA WA MADINI HUKO TUNDURU, RUVUMA

WATAALAMU KUTOKA WIZARA YA NISHATI NA MADINI WAENDELEA KUWAPIGA MSASA WACHIMBAJI WADOGO JUU YA UCHIMBAJI BORA WA MADINI HUKO TUNDURU, RUVUMA


Kamishna Msaidizi- Uendelezaji wa Uchimbaji Mdogo, Mhandisi Fredy Mahobe kutoka Wizara ya Nishati na Madini akifafanua taratibu za kupata mikopo kwa wachimbaji wadogo.
Mhandisi Heri Issa kutoka Wakala wa Jiolojia Tanzania (GST) akionesha jinsi uchekechaji wa madini unavyofanyika, katika mafunzo ya wachimbaji wadogo yanayoendelea huko Tunduru mkoani Ruvuma.
Mjiolojia Mwandamizi kutoka Wizara ya Nishati na Madini Bw. Julius Sarota akielezea matumizi ya zebaki kwenye uchenjuaji wa madini katika mafunzo ya wachimbaji wadogo yanayoendelea huko Tunduru mkoani Ruvuma.
Wataalamu kutoka Wizara ya Nishati na Madini ( waliokaa mbele) ikiwa ni pamoja na washiriki wa mafunzo hayo wakifuatilia mada mbalimbali zilizokuwa zinawasilishwa. 
Picha na Michuzi Media

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Ruvuma Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa