ASIYEKWENDA NA KASI YA SERIKALI KUTOVUMILIWA.

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. NAIBU Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Edwin Ngonyani amesema, serikali haitamvumilia na kumuonea huruma mkurugenzi wa halmashauri, mji, manispaa na jiji ambaye atashindwa kasi ya utendaji wa Serikali ya Awamu ya Tano. Mbali na hilo, Naibu Waziri amewaagiza wakurugenzi wote hapa nchini kutumia rasilimali za msitu zilizoko katika wilaya zao kumaliza tatizo la madawati na kusema kwamba hakuna mwanafunzi yeyote atakayekaa chini kwa kukosa dawati. “Agizo hili ni la serikali ya awamu ya tano, sisi hatuangalii wapi ni lazima uwajibike pale unapoona mambo hayaendi vizuri, hata mkurugenzi wangu na wewe agizo hili linakuhusu, mkurugenzi tumia rasilimali...

WANAWAKE WAHAMASISHWA KULETA MAENDELEO.

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.  WANAWAKE wilayani Songea, Ruvuma wametakiwa kuwa chachu ya mabadiliko ya kiuchumi hapa nchini kwa kuwa mfano bora katika kufanya kazi za kujiletea maendeleo. Wameelezwa wakifanya hivyo, itawawezesha kubadili mawazo na mtazamo kwamba mwanamke ni kiumbe dhaifu anayehitaji kusaidiwa kwa kila kitu katika maisha yake. Mbali na hayo, wameaswa kutumia uwezo wao kuibadili jamii ya kitanzania kitabia na kifikra dhidi ya mtazamo kwamba mtoto wa kike ndiye anayeongoza katika suala zima la mmomonyoko wa maadili, unaosababishwa na kuingia kwa utandawazi. Hayo yalisemwa mwishoni mwa wiki na diwani wa Ndilimalitembo katika Manispaa ya Songea, Cresensia Kapinga,...

Mbunge Kessy ataka serikali ibane matumizi zaidi

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.  Mbunge wa Nkasi kaskazini Ally Keissy amewataka wabunge waungane kukataa matumizi ya serikali kuwaleta wakurugenzi,wakuu wa mikoa pamoja madereva kwenda Dodoma kushiriki vikao vya Bunge kwani fedha nyingi hupotea bila mafanikio kuonekana. Kessy ameyasema hayo wakati akichangia mjadala wa kuijadili hotuba ya Rais aliyoitoa wakati wa ufunguzi wa Bunge la 11. ''Huu utaratibu wa kuwaleta madereva, na wakurugenzi pamoja na wakuu wa mikoa ni lazima wabunge tuungane kupinga matumizi yasiyo...

MWALIMU AKUTWA AMEJINYONGA CHUMBANI

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.  Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ruvuma, Revocatus Malimi. Mwalimu wa Shule ya Msingi Peramiho, Songea mkoani Ruvuma, Baraka Mwakajila (29), amekutwa amefariki dunia baada ya kujinyonga kwa kutumia shati ndani ya nyumba alimokuwa akiishi.   Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ruvuma, Revocatus Malimi, alisema jana kuwa tukio hilo limetokea juzi saa sita mchana katika mji mdogo wa Peramiho, nje kidogo ya Manispaa ya Songea.   Malimi alisema inadaiwa kuwa siku hiyo...

ELIMU BURE BADO KIZUNGUMKUTI

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.  Rais Dk. John Magufuli. Wakati utekelezaji wa mpango wa elimu bure ya Rais Dk. John Magufuli, ukianza jana, baadhi ya wazazi wamekumbwa na sintofahamu baada ya wanafunzi kurudishwa nyumbani wakidaiwa michango na maeneo mengine utitiri wa wanafunzi ukiwa kikwazo, huku kwingine mwamko wa uandikishaji ukiwa chini. Mwishoni mwa mwaka jana, serikali ilitoa mwongozi wa elimu ya msingi (shule ya msingi mpaka kidato cha nne) kuwa wazazi watatakiwa kununua sare za shule na michezo, madaftari,...

Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto Mheshimiwa Ummy Mwalimu ametembelea jengo la zahanati ya Mpingi, wilaya ya Songea Vijijini

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.  Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto Mheshimiwa Ummy Mwalimu ametembelea jengo la zahanati ya Mpingi, wilaya ya Songea Vijijini na kuzungumza na wanakijiji wa eneo hilo. Ziara hiyo ni moja kati ya kazi anazozifanya mkoani hapa kwa lengo la kuzungumza na wananchi, watoa huduma na watumishi wa sekta ya afya ili kuboresha huduma za matibabu na kuhamasisha wananchi kushiriki katika shughuli mbalimbali za afya ikiwemo uchangiaji katika mfuko wa  Bima ya Afya. Baada ya kufika kijijini hapo...

Waziri Ummy Mwalimu atembelea jengo la zahanati ya Mpingi wilaya ya Songea

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.    Na Mwandishi Maalum  WAZIRI WA AFYA Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto Mheshimiwa Ummy Mwalimu ametembelea jengo la zahanati ya Mpingi wilaya ya Songea Vijijini na kuzungumza na wanakijiji wa eneo hilo. Ziara hiyo ni moja kati ya kazi anazozifanya mkoani hapa kwa lengo la kuzungumza na wananchi, watoa huduma na watumishi wa sekta ya afya ili   kuboresha huduma za matibabu na kuhamasisha wananchi kushiriki katika shughuli mbalimbali za afya ikiwemo uchangiaji katika mifuko ya afya ...

Ziara ya Mkurugenzi wa Mauzo na Masoko wa NHC Ruvuma

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.  Nyumba za gharama nafuu NHC Mkuzo Songea zinavyoonekana kwa sasa. Meneja wa Shirika la Nyumba mkoa wa Ruvuma, Saidi Bungara akiongozana na Mkurugenzi wa Masoko na Mauzo, Pius Tibazarwa alipokuwa kwenye ziara ya mradi wa nyumba za gharama nafuu Mkuzo, Songea. Meneja wa Shirika la Nyumba mkoa wa Ruvuma, Saidi Bungara akimwelekeza jambo Mkurugenzi wa Masoko na Mauzo, Pius Tibazarwa alipokuwa kwenye ziara ya mradi wa nyumba za gharama nafuu Mkuzo, Songea. Meneja wa Shirika la Nyumba mkoa wa...

MAJALIWA: NAFARIJIKA KUONA WAZEE WANAPATA MATIBABU BURE TENA BILA USUMBUFU

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.  Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema kuwa amefarijika kuona wazee wanapata huduma za matibabu bure na kwa utaratibu mzuri katika hospitali ya Mkoa wa Ruvuma. Akizungumza na madaktari, wauguzi na watumishi wengine wa hospitali hiyo wiki hii, alivyokuwa kwenye ziara mkoani humo, Waziri Mkuu  Majaliwa amesema  utaratibu wa kutenga chumba maalum chenye madaktari wawili  mahsusi kwa ajili ya kuwahudumia wazee  unaotekelezwa hospitalini hapo  umeondoa  adha kubwa  kwa wazee kusubiri...

WAZIRI MKUU ATEMBELEA KIWANDA CHA TUMBAKU MKOANI RUVUMA NA KUWASIMAMISHA KAZI VIONGOZI WA CHAMA CHA USHIRIKA CHA SONAMCU

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.  Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ametembelea kiwanda cha kusindika tumbaku cha mkoani Ruvuma na kuwasimamisha kazi viongozi wa Chama Cha Kikuu Cha Ushirika cha SONAMCU. Akizungumza jana jioni(Jumanne, Januari 5, 2016), katika ukumbi wa mikutano wa Ikulu Ndogo ya Songea, wakati alipokutana na wakulima wa zao la tumbaku wa Wilaya ya Namtumbo, Wananchama wa Vyama Vya Ushirika vya Mkoa wa Ruvuma, viongozi wa Mkoa pamoja na Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Edwin Ngonyani ambaye ni Mbunge...

WAZIRI MKUU,KASSIM MAJLIWA ATEMBELEA HOSPITALI YA MKOA WA RUVUMA.

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.    Waziri Mkuu,Kassim Majliwa akizungumza na baadhi ya wananchi waliofika kuwahudumia wagonjwa wao waliolazwa kwenye hospitali ya mkoa wa Ruvuma baada ya kuitembelea akiwa katika ziara ya mkoa huo Januari 5, 2016.Kushoto ni Mkuu wa Mkoa huo, Thabiti Mwabungu na kulia ni Mbunge wa Songea Mjini, Leonidas Gama. Kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Thabiti  Mwambungu.  Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa,akimsalimia mtoto Flora Mapunda (1) ambaye amelazwa katika hospitali ya Mkoa...

WAZIRI MKUU AKAGUA JENGO LA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.  Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amekagua jengo la Makao Makuu ya Halmashauri ya Wialaya ya Songea lilipo katika kijiji cha Lundusi, Wilaya ya Peramiho mkoani Ruvuma.  Alipowasili jana katika eneo hilo alikutana na viongozi wa jadi ambapo Mzee Daniel Gama alimkabidhi ngao na silaha ikiwa ni ishara ya kumkaribisha kijijini hapo, pia alipata fursa ya kutazama ngoma ya mila ya kabila la Wangoni. Mara baada ya kukagua jengo hilo la ghorofa,Mkurugenzi wa Halmashauri ya Lundusi Bwana...

WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA ATEMBELEA NFRA NA UJENZI WA OFISI YA MKURUGEZI PERAMIHO

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.   Waziri Mkuu, Kassim Majliwa akikagua mahindi yaliyohifadhiwa nje ya majengo ya maghala ya  Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula NFRA mjini Songea  akiwa katika ziara ya siku tatu mkoani Ruvuma Januari 4, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri  Mkuu)  Waziri Mkuu, Kassim Majliwa akikagua mahindi yaliyohifadhiwa nje ya majengo ya maghala ya  Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula NFRA mjini Songea  akiwa katika ziara ya siku tatu mkoani Ruvuma Januari 4, 2016. (Picha na Ofisi...
 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Ruvuma Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa