Home » » Ziara ya Mkurugenzi wa Mauzo na Masoko wa NHC Ruvuma

Ziara ya Mkurugenzi wa Mauzo na Masoko wa NHC Ruvuma

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. 

Nyumba za gharama nafuu NHC Mkuzo Songea zinavyoonekana kwa sasa.
Meneja wa Shirika la Nyumba mkoa wa Ruvuma, Saidi Bungara akiongozana na Mkurugenzi wa Masoko na Mauzo, Pius Tibazarwa alipokuwa kwenye ziara ya mradi wa nyumba za gharama nafuu Mkuzo, Songea.
Meneja wa Shirika la Nyumba mkoa wa Ruvuma, Saidi Bungara akimwelekeza jambo Mkurugenzi wa Masoko na Mauzo, Pius Tibazarwa alipokuwa kwenye ziara ya mradi wa nyumba za gharama nafuu Mkuzo, Songea.
Meneja wa Shirika la Nyumba mkoa wa Ruvuma, Saidi Bungara akiongozana na Mkurugenzi wa Masoko na Mauzo, Pius Tibazarwa alipokuwa kwenye ziara ya mradi wa nyumba za gharama nafuu Mkuzo, Songea.

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Ruvuma Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa